Saturday, May 31, 2014

MAPENZI NI NOMAAAAAA SNA

diva wa tasnia ya filamu nchi Tanzania irene owoya ampokonya tonge alie kuwa girlfriend wa msanii wa bongo fleva kutoka T.H.T msami alipo ulizwa msami kuwa anatoka na irene owoya alikanusha kabisa habari hizo ila haikuwa hivo upande wa pili kwa irene ambaye alikubari kuwa anatoka kimapenzi na msami


Posted by flavian kachira

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews