Monday, June 30, 2014

GIRLFRIEND WA CHRISBROWN AMUHOJI DIAMOND PLATNUMZ KWENYE RED CARPET YA BET

Diamond Platnumz hajashinda tuzo ya BET mwaka huu lakini walau ameweza kukutana na kuongea na msichana ambaye wanaume wengi wangependa walau kupiga naye picha, mrembo Karruche Tran.

Tran ambaye ni mpenzi wake na Chris Brown ndiye aliyekuwa akiwahoji mastaa waliokuwa wakipita kwenye red carpet ya BET Awards.

Diamond ameshare picha Instagram akiwa na msichana huyo. BONYEZA HAPA  VIDEO IPO HAPA 


Posted by flavian kachira

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews