Wednesday, April 1, 2015

Sababu ya mwanadada Rihanna kuwa single

Kwenye mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu Rihanna amekanusha kuwa na mahusiano na star wa Titanic Leonardo Dicaprio na kusema ” ratiba yake inambana sana muda huu kuwa kwenye mahusiano yeyote au kuwa na mtu ” Riri aliendelea kusema “usiamini blogs zitaharibu mambo yako ” .

Rihanna anasema mwanaume atakaye weza kuwa naye kwa sasa lazima aelewe ratiba yake na aweze kuishi naye kwenye maisha hayo



Posted by Almas

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews