Tuesday, July 8, 2014

Fahamu kuhusu bomu lilololipuka na watu ambao wanashikiriwa na jeshi la polisi juu ya mlipuko huo

Imeripotiwa watu 8 wamejeruhiwa mmoja
akiwa mahututi baada ya kutokea mlipuko
kwenye mgahawa mmoja uliopo eneo la
GymKhana jijini Arusha.

Mlipuko huo umetokea Jioni ya July 07 na
chanzo cha mlipuko huo bado
hakijafahamika,ingawa kwa sasa Jeshi la polisi
linawashikilia watu wawili wakihusishwa na
mlipuko huo.


Posted by flavian kachira

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews