Wednesday, October 7, 2015

Kanye West kaulizwa kwanini anajiita ‘Genius’,jibu liko hapa.

Kwenye Interview aliyofanyiwa hivi karibuni
rapa Kanye West amezungumzia kwanini
anajiita ‘Genius’.

Kanye West anasema  ” Nibora nijipe jina
mimi mwenywe kuliko nipewe majina kama
“celebrity,” “nigger,” or “rapper.”, ambayo
piwa wakati wanakuita hivyo hawafanyi kwa
mazuri, lazima niseme kwa watu mimi ni
nani ” .

No comments:

Post a Comment

Total Pageviews