Monday, October 12, 2015

Tyga atenga mapenzi na pesa,akubali huu mkwanja iliaonekane kwenye kipindi cha The Kardashians.

Kama ilivyokuwa ngumu kwa Kanye West
kuonekana kwenye kipindi cha The
Kardashians wakati ananza mahusiano na
Kim K, bsai imetokea kwa rapa Tyga ambaye
imetajwa kuwa atalipwa dola 25000 kila mara
atakapo onekana kwenye episode tofauti.

Tyga yupo kwenye mahusiano na mtoto wa
familia ya The Kardashians ‘Kylie’ na
ataonekana kwenye msimu wa 11 wa KUWTK
unaoanza November 11 2015.

Young Thug asema asilimia tisini ya nguo zake ni za kike,kwanini,,,viko hapa.

Rapa Young Thug amehojiwa na jarida la The
Guardian ,kuhusu mambo tofauti ambayo
maadui wake hutumia kumponda na
kumuongelea vibaya.

Young Thug kaulizwa kuhusu kuvalia nguo
za kike na kama anapendelea kuwa na
wanaume au wanawake?
Young Thug anasema “ Napenda kuvaa nguo
za kike kwa sababu zinanikaa vizuri zaidi,
nguo za kike zinakuja kwenye size ile
nayoitaka na hata jeans nazovaa ni za kike
tu, Jeans nazovaa zote ni za kike hata hii
niliyovaa hapa na kama kuna kitu cha kiume
kwenye kabati langu basi itakuwa t shirt na
sneaker tu, asilimia 90 ni mavazi ya kike “
Kuhusu mahusiano na jinsi gani anapendelea
,Young alikwepa swali hilo.




Posted by 13

Total Pageviews