Mtoto mdogo ambaye amezaliwa na miguu
mitatu amesafirishwa kwenda nchini Marekani
kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kuondoa
miguu miwili
Ana Paula mwenye miezi 22 alikuwa ni pacha
aliyeungana ambapo dada yake hakuweza
kupona wakati wa upasuaji wa
kuwatenganisha.
Ni mguu mmoja tu wa mtoto huyo unaofanya
kazi hivyo upasuaji atakaofanyiwa katika moja
ya hospitali za watoto ni kuondoa miguu
miwili ambayo haifanyi kazi na kumwongezea
uwezo wa viungo vyake kufanya kazi.
Ana na mama yake walisafirishwa kutoka
Panama kwa msaada waliopatiwa na
wasamaria ili zoezi zima liweze kukamilika.



mitatu amesafirishwa kwenda nchini Marekani
kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kuondoa
miguu miwili
Ana Paula mwenye miezi 22 alikuwa ni pacha
aliyeungana ambapo dada yake hakuweza
kupona wakati wa upasuaji wa
kuwatenganisha.
Ni mguu mmoja tu wa mtoto huyo unaofanya
kazi hivyo upasuaji atakaofanyiwa katika moja
ya hospitali za watoto ni kuondoa miguu
miwili ambayo haifanyi kazi na kumwongezea
uwezo wa viungo vyake kufanya kazi.
Ana na mama yake walisafirishwa kutoka
Panama kwa msaada waliopatiwa na
wasamaria ili zoezi zima liweze kukamilika.



No comments:
Post a Comment