Staa wa filamu na muziki Bongo, Baby
Madaha anadaiwa kwenda kijijini kwao
kutambika baada ya kuona mambo yake
yanamwendea kombo.
Akizungumza na mwanahabari wetu, rafiki wa
karibu wa Baby Madaha ambaye hakupenda
kuanikwa, alisema kutokana na staa huyo
kuona mambo hayaendi vizuri hasa kwenye
muziki, ameamua kwenda nyumbani kwao
Mwanza kwa ajili ya kutambikia mizimu ya
kwao.
Alipotafutwa Baby kuhusiana na ishu hiyo,
alifunguka:
“Ni kweli niko nyumbani kwetu Mwanza, ni
muda mrefu sijaja kumuona mama, kuhusu
kutambika hilo ni lazima kwani nikiona
mambo hayaendi vizuri, lazima niikumbuke
mizimu ya kwetu,” alisema Baby.

Madaha anadaiwa kwenda kijijini kwao
kutambika baada ya kuona mambo yake
yanamwendea kombo.
Akizungumza na mwanahabari wetu, rafiki wa
karibu wa Baby Madaha ambaye hakupenda
kuanikwa, alisema kutokana na staa huyo
kuona mambo hayaendi vizuri hasa kwenye
muziki, ameamua kwenda nyumbani kwao
Mwanza kwa ajili ya kutambikia mizimu ya
kwao.
Alipotafutwa Baby kuhusiana na ishu hiyo,
alifunguka:
“Ni kweli niko nyumbani kwetu Mwanza, ni
muda mrefu sijaja kumuona mama, kuhusu
kutambika hilo ni lazima kwani nikiona
mambo hayaendi vizuri, lazima niikumbuke
mizimu ya kwetu,” alisema Baby.

No comments:
Post a Comment