Mchezaji aliyekuwa tegemezi kwenye mechi za
kombe la dunia za timu ya Brazil Neymar Jr,
hatimaye amepelekwa kwao Guaruya, Sao
Paulo kwa ajili ya mapumziko. Neymar
amepata matibabu baada ya kupata maumivu
kwa kugongwa kifuti kwenye uti wa mgongo
na mchezaji wa Colombia wakiwa uwanjani.
Neymar alipelekwa na helicopter kwenye
uwanja wa mazoezi ambapo alikutana na
wachezaji wenzake, baadae alikutana na
waandishi pamoja na mashabiki na safari
ikaelekea Sao Paulo.






kombe la dunia za timu ya Brazil Neymar Jr,
hatimaye amepelekwa kwao Guaruya, Sao
Paulo kwa ajili ya mapumziko. Neymar
amepata matibabu baada ya kupata maumivu
kwa kugongwa kifuti kwenye uti wa mgongo
na mchezaji wa Colombia wakiwa uwanjani.
Neymar alipelekwa na helicopter kwenye
uwanja wa mazoezi ambapo alikutana na
wachezaji wenzake, baadae alikutana na
waandishi pamoja na mashabiki na safari
ikaelekea Sao Paulo.






No comments:
Post a Comment