Majeshi Maalum (Special Forces) ya Jeshi la
Wananchi wa Tanzania yanayolinda amani
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Congo (DRC) ni miongoni mwa vikosi bora 35
vya majeshi ya nchi mbali duniani
vinavyokubali kuwa na ufanisi wa hali ya juu,
uwezo mkubwa wa kupigana na
vilivyofundishwa vizuri.
Kwa mujibu wa Mtandao wa Imgur Via
Distractify, Tanzania na jeshi lake ni nchi
pekee ya Afrika kuweza kuwa na majeshi yake
miongoni mwa majeshi bora duniani.
Chini ya kichwa cha habari “35 Most Badass
Elite Fighting Units from Around the
World” mwandishi, Micky Wren anaandika
kuwa hayo ndiyo majeshi bora duniani,
yamefundishwa kwa kiwango cha juu kabisa,
yana silaha za kisasa kabisa, yameandaliwa
vizuri kwa ajili ya operesheni ngumu za kijeshi
na yenye uwezo kukabiliana na adui katika
mazingira yoyote kuanzia kumaliza uhuni wa
utekaji hadi kuwasambaratisha magaidi wenye
uwezo mkubwa.
Mwandishi anasema kuwa orodha hiyo
haikupangwa kwa mtitiriko wa uwezo wa
kijeshi wa kila kikundi.
Vikosi vilivyoko kwenye orodha hiyo ni kile
cha Seal cha Jeshi la Maji la Marekani, SAS cha
Jeshi la Uingereza, Huntsmen Corps cha
Majeshi Maalum ya Denmark, Majeshi Maalum
ya Ufaransa, Kikosi cha MARSOC, Majeshi
Maalum ya Taiwan ambayo yanatumia kinga za
usoni zisizoweza kuingiliwa na risasi na Kikosi
cha Irish Army Rangers cha Jamhuri ya
Ireland.
Vingine ni Gendarmerie cha Serbia, Kikosi
Maalum cha Kukabiliana na Ugaidi cha JTF2
cha Canada, Majeshi Maalum ya Uholanzi,
Kikosi cha SBS, Majeshi Maalum ya Jamhuri ya
Korea, Majeshi Maalum ya Ufaransa, Majeshi
Maalum ya Ubelgiji, Kikosi cha MJK cha
Norway, Canadian Joint Response Unit cha
Canada, Majeshi Maalum ya Norway, Kikosi
cha French Commando Marine, Majeshi
Maalum ya New Zealand, Kikosi cha
Norwegian Armed Forces Special Command na
Kikosi cha Polish Grom cha Poland.
Vingine ni Kikosi cha US Army Special Forces
Sniper with Remington Modular Sniper Rifle,
Majeshi Maalum ya Marekani, Majeshi Maalum
ya Indonesia, Majeshi Maalum ya Romania,
Kikosi cha SASR cha Australia, Kikosi cha KSK
cha Ujerumani, Majeshi Maalum ya Ujerumani,
Majeshi Maalum ya Israel – Shayetet 13,
Majeshi Maalum ya Urusi – Spetsnaz, Majeshi
Maalum ya Austria – Jagdkommando, Majeshi
Maalum ya Iraq, Majeshi Maalum ya
Ujerumani ya SEK-M na Majeshi Maalum ya
Peru.

Wananchi wa Tanzania yanayolinda amani
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Congo (DRC) ni miongoni mwa vikosi bora 35
vya majeshi ya nchi mbali duniani
vinavyokubali kuwa na ufanisi wa hali ya juu,
uwezo mkubwa wa kupigana na
vilivyofundishwa vizuri.
Kwa mujibu wa Mtandao wa Imgur Via
Distractify, Tanzania na jeshi lake ni nchi
pekee ya Afrika kuweza kuwa na majeshi yake
miongoni mwa majeshi bora duniani.
Chini ya kichwa cha habari “35 Most Badass
Elite Fighting Units from Around the
World” mwandishi, Micky Wren anaandika
kuwa hayo ndiyo majeshi bora duniani,
yamefundishwa kwa kiwango cha juu kabisa,
yana silaha za kisasa kabisa, yameandaliwa
vizuri kwa ajili ya operesheni ngumu za kijeshi
na yenye uwezo kukabiliana na adui katika
mazingira yoyote kuanzia kumaliza uhuni wa
utekaji hadi kuwasambaratisha magaidi wenye
uwezo mkubwa.
Mwandishi anasema kuwa orodha hiyo
haikupangwa kwa mtitiriko wa uwezo wa
kijeshi wa kila kikundi.
Vikosi vilivyoko kwenye orodha hiyo ni kile
cha Seal cha Jeshi la Maji la Marekani, SAS cha
Jeshi la Uingereza, Huntsmen Corps cha
Majeshi Maalum ya Denmark, Majeshi Maalum
ya Ufaransa, Kikosi cha MARSOC, Majeshi
Maalum ya Taiwan ambayo yanatumia kinga za
usoni zisizoweza kuingiliwa na risasi na Kikosi
cha Irish Army Rangers cha Jamhuri ya
Ireland.
Vingine ni Gendarmerie cha Serbia, Kikosi
Maalum cha Kukabiliana na Ugaidi cha JTF2
cha Canada, Majeshi Maalum ya Uholanzi,
Kikosi cha SBS, Majeshi Maalum ya Jamhuri ya
Korea, Majeshi Maalum ya Ufaransa, Majeshi
Maalum ya Ubelgiji, Kikosi cha MJK cha
Norway, Canadian Joint Response Unit cha
Canada, Majeshi Maalum ya Norway, Kikosi
cha French Commando Marine, Majeshi
Maalum ya New Zealand, Kikosi cha
Norwegian Armed Forces Special Command na
Kikosi cha Polish Grom cha Poland.
Vingine ni Kikosi cha US Army Special Forces
Sniper with Remington Modular Sniper Rifle,
Majeshi Maalum ya Marekani, Majeshi Maalum
ya Indonesia, Majeshi Maalum ya Romania,
Kikosi cha SASR cha Australia, Kikosi cha KSK
cha Ujerumani, Majeshi Maalum ya Ujerumani,
Majeshi Maalum ya Israel – Shayetet 13,
Majeshi Maalum ya Urusi – Spetsnaz, Majeshi
Maalum ya Austria – Jagdkommando, Majeshi
Maalum ya Iraq, Majeshi Maalum ya
Ujerumani ya SEK-M na Majeshi Maalum ya
Peru.

No comments:
Post a Comment