Muigizaji nguli wa filamu za kibongo
nchini Kulwa Kikumba 'Dude' amesema
askari wa Kenya waliwakamata na
kuwashikiria kwa siku nzima wakiwa
wanarekodi movie yao mpya yeye na
wasanii wenzake ambao ni mzee Majuto
na Tino maeneo ya Maduka Kifili mjini
Mombasa.....
"Nchi ya Kenya kwa sasa ina ulinzi mkali
sana, askari wapo kila kona, tulikamatwa
kwa muda mrefu sana wakidhani ni
waharifu.
"Ilitupoteza sana muda. Pamoja na
kuwaonyesha Passport na vitambulisho
vyetu, askari wale hawakutuelewa mpaka
watu wa shirikisho la Filamu pale
Mombaa walipokuja kutusaidia," alisema
Dude

nchini Kulwa Kikumba 'Dude' amesema
askari wa Kenya waliwakamata na
kuwashikiria kwa siku nzima wakiwa
wanarekodi movie yao mpya yeye na
wasanii wenzake ambao ni mzee Majuto
na Tino maeneo ya Maduka Kifili mjini
Mombasa.....
"Nchi ya Kenya kwa sasa ina ulinzi mkali
sana, askari wapo kila kona, tulikamatwa
kwa muda mrefu sana wakidhani ni
waharifu.
"Ilitupoteza sana muda. Pamoja na
kuwaonyesha Passport na vitambulisho
vyetu, askari wale hawakutuelewa mpaka
watu wa shirikisho la Filamu pale
Mombaa walipokuja kutusaidia," alisema
Dude

No comments:
Post a Comment